استمع
للمقال

- Tangazo la Pili -
Hotuba ya Amir wa Hizb ut Tahrir Mwanachuoni Mtukufu Ata Bin Khalil Abu al-Rashtah, hafidhuLlāh Katika mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 99 ya kuvunjwa kwa Dola ya Khilafah
Isubirini katika matangazo maalum kupitia Televisheni ya Al-Waqiyah
Baada ya Maghrib ya siku ya Jumapili, kuelekea usiku wa Jumatatu tarehe 28 Rajab al-Muharram 1441 H Inayosadifiana na tarehe 23/03/2020 M
Maandalizi ya Televisheni ya Al-Waqiyah / Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir