استمع
للمقال

- Tangazo la Tatu -
Kuhusu Hotuba ya Amiri wa Hizb ut Tahrir Mwanachuoni Mvumbuzi Ata Bin Khalil Abu al-Rashtah (Mwenyezi Mungu amhifadhi) Katika Maadhimisho ya Miaka 99 tangu Kuvunjwa kwa Dola ya Khilafah
Kaeni tayari kuifuatilia kupitia matangazo maalum kwenye Chaneli ya Al-Waqiyah
Baada ya Magharibi ya siku ya Jumapili, kuamkia Jumatatu, 28 Rajab Al-Muharram 1441 H Inayolingana na tarehe 23/03/2020 M
Imetayarishwa na Al-Waqiyah TV / Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir