Home About Articles Ask the Sheikh

Archive and Articles

Articles Library Description

Maswali na Majibu 14/11/2025

Jibu la Swali: Mtazamo wa Marekani Kuhusu Suluhu la Tatizo la Kupro

(Ofisi ya Rais wa Uturuki ilitangaza Jumatatu kwamba Rais wa Jamhuri ya Kituruki ya Kupro ya Kaskazini, Tufan Erhurman, atazuru Ankara Alhamisi ijayo, 2025/11/13. Mkuu wa Idara ya Mawasiliano katika Ofisi ya Rais wa Uturuki, Burhanettin Duran, alisema ziara ya Erhurman Ankara inafuatia mwaliko wa Rais Erdoğan, na Duran aliongeza kuwa ziara hiyo itakuwa kituo cha kwanza cha Erhurman nje ya nchi. Mnamo Oktoba 19, Tume Kuu ya Uchaguzi huko Kupro ya Kituruki ilitangaza ushindi wa kiongozi wa Chama cha Republican cha Kituruki, Tufan Erhurman, katika uchaguzi wa urais.

Soma zaidi
Masuala 05/11/2025

Jibu la Swali: Sudan Baada ya Utawala wa Usaidizi wa Haraka kwa Al-Fashir

(Musad Bulus, mshauri mkuu wa Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu masuala ya Mashariki ya Kati, alithibitisha kwamba jeshi la Sudan na vikosi vya usaidizi wa haraka vimekubaliana na usitishaji vita wa miezi mitatu, kulingana na mpango wa kundi la nne ambalo linajumuisha Umoja wa Falme za Kiarabu, Marekani, Saudi Arabia na Misri, na ilitangazwa mnamo Septemba 12 iliyopita ... Sky News Arabia, 2025/11/3), na idhini hizi kwa mpango wa Marekani kutoka pande za Sudan,

Soma zaidi
Maswali na Majibu 08/09/2025

Jibu la Swali: Mkakati wa Marekani na Suluhisho la Mataifa Mawili

Swali:

Soma zaidi
Maswali na Majibu 24/08/2025

Jibu la Swali: Mkutano wa Trump na Putin huko Alaska

Makala haya yanachambua mkutano wa kihistoria kati ya Rais Trump na Putin huko Alaska mnamo 2025, yakionyesha mabadiliko ya kimkakati ya Marekani dhidi ya China na kudhoofika kwa nafasi ya Urusi kimataifa. Inabainisha jinsi Marekani inavyotumia mzozo wa Ukraine kuilazimisha Urusi kutoa makubaliano katika masuala ya silaha za nyuklia huku ikijaribu kuvunja ushirikiano kati ya Urusi na China kupitia mashindano mapya ya kimkakati.

Soma zaidi
Maswali na Majibu 19/08/2025

Jibu la Swali: Matukio ya Armenia na Azabajani

Uwepo wa Urusi katika eneo la kusini mwa Caucasus ulitikisika (baada ya Armenia na Azabajani kutiia tangazo la pamoja na Marekani kuhusu suluhu ya amani na makubaliano katika nyanja za biashara na usalama baada ya mzozo wa zaidi ya miaka 35 kati ya nchi hizo mbili jirani.. Al Jazeera 2025/8/15) Azabajani na Armenia zilikuwa zimetoa taarifa ya pamoja mnamo 2025/8/11, kufuatia makubaliano yaliyosainiwa kati yao huko Washington mnamo 2025/8/8, zikiomba pande zingine kutatua kundi la Minsk lililoanzishwa mnamo 1992 kutatua shida kati ya

Soma zaidi
Maswali na Majibu 30/07/2025

Jibu la Swali: Matukio ya Suweida

Swali:

Soma zaidi
Siasa 05/07/2025

Jibu la Swali: Uchokozi wa Taasisi ya Kiyahudi dhidi ya Iran na Matokeo Yake

Al-Arabiya ilichapisha kwenye tovuti yake tarehe 2025/6/27: (Vyanzo 4 vya habari vilisema kwamba utawala wa Rais Donald Trump ulijadili uwezekano wa kuisaidia Iran kufikia hadi dola bilioni 30 ili kujenga mpango wa nyuklia wa kuzalisha nishati kwa madhumuni ya kiraia... Vyanzo viliongeza kuwa majadiliano haya yaliendelea wiki hii baada ya makubaliano ya kusitisha mapigano kufikiwa... Maafisa wa utawala wa Trump walithibitisha kuwasilishwa kwa mapendekezo kadhaa, ambayo ni mapendekezo ya awali na yaliyoendelezwa na kifungu kimoja kisichobadilika ambacho hakiwezi kujadiliwa, ambacho ni "kusimamisha kabisa urutubishaji wa uranium wa Iran"). Trump alikuwa ametangaza kuanza kutekelezwa kwa usitishaji mapigano aliyopendekeza kati ya Iran na taasisi ya Kiyahudi, (na Netanyahu alisema kuwa alikubali pendekezo la Trump... Shirika la habari la Reuters pia lilimnukuu afisa mkuu wa Iran akisema kwamba Tehran ilikubali kusitisha mapigano kwa upatanishi wa Qatar na pendekezo la Marekani.

Soma zaidi
Masuala 26/05/2025

Jibu la Swali: Mashambulizi ya Ndege zisizo na Rubani (Droni) na Maendeleo ya Vita nchini Sudan

Uchambuzi huu unaangazia sababu za kimkakati nyuma ya mashambulizi ya hivi karibuni ya droni mashariki mwa Sudan na namna yanavyolenga kudhoofisha jeshi ili kuwezesha udhibiti wa vikosi vya RSF huko Darfur. Aidha, unafichua njama za Marekani na vibaraka wake katika kutumia migogoro hii kuelekea kwenye mpango wa kuigawanya Sudan kupitia mazungumzo ya Jeddah.

Soma zaidi
Machapisho 19/05/2025

Kutoka katika Maneno na Majibu ya Amir wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mtukufu Ata Bin Khalil Abu Al-Rashtah

Makala haya yanajumuisha mkusanyiko wa dondoo, maneno na majibu muhimu kutoka kwa Amir wa Hizb ut Tahrir, mwanachuoni Ata Bin Khalil Abu Al-Rashtah. Ni sehemu ya mfululizo wa maarifa ya kisheria na kisiasa yanayotolewa na uongozi wa Hizb ut Tahrir.

Soma zaidi
Maswali na Majibu 20/05/2025

JIBU LA SWALI: INDIA, PAKISTAN NA KUSITISHA MAPIGANO

Makala hii inachambua mvutano wa hivi karibuni kati ya India na Pakistan na jukumu la Amerika katika kusimamia usitishaji mapigano. Inabainisha jinsi Amerika inavyozitumia nchi zote mbili kuimarisha maslahi yake ya kikanda dhidi ya China huku ikionya dhidi ya mtego wa mazungumzo ya kisiasa yanayodhibitiwa na mataifa ya kikoloni.

Soma zaidi
Maswali na Majibu 12/05/2025

Jibu la Swali: Dola ya Ndani (Deep State)

Makala hii inafafanua dhana ya "Dola ya Ndani" (*Deep State*) na jinsi inavyofanya kazi katika mifumo ya kisiasa nchini Uturuki, Marekani, na Uingereza. Pia inaelezea tofauti kati ya nguvu hizi za siri za ndani na ushawishi wa kikoloni, ikisisitiza mtazamo wa Kiislamu kuhusu utawala na mabadiliko ya kisiasa.

Soma zaidi
Maswali na Majibu 12/05/2025

Jibu la Swali: Mazungumzo ya Marekani na Iran

Uchambuzi huu unaangazia sababu zilizomfanya Trump kurejea katika mazungumzo ya kinyuklia na Iran mwaka 2025 licha ya kujiondoa hapo awali, huku akilenga kuitenga Ulaya na kuelekeza nguvu zake dhidi ya China. Pia, unatoa nasaha kwa Umma wa Kiislamu kuhusu umuhimu wa kumiliki nguvu za kijeshi bila kuingiliwa na maadui, kwa mujibu wa mafundisho ya Sharia.

Soma zaidi
2 3 ... 37